photo tyyyyyyyyyyyyyyyy_zpsd20272cf.jpg

INJINA OMARY NUNDU AWATAKA WANANCHI KUJIHADHARI NA WANASIASA WANAOTUMIA OVYO MAJUKWAA YA SIASA,KWA KUWACHAFUA HATA WALE WANAOLETA MAENDELEO KWA WANANCHI.

Wananchi wa chama wa chama cha mapinduzi wakimlaki mbunge wa jimbo la tanga injinia omary nundu,mara baada ya kuwasili katika eneo la mkutano wa hadhala,omary nundu alikuwa mgeni rasmi katika mkutano huo ulofanyika katika mtaa wa Msikitini kata ya Ngamiani kati barabara ya 14 jijini tanga
 Akiwahutubia wanachi katika mkutano wa hadhara uliofanyika mtaa wa Msikitini kata ya Ngamiani kati cosovo line barabara ya 14 jijini tanga,mbunge omari nundu amewataka wananchi  kuwatambua wanasiasa wenye maslahi yao binafsi na kusema kuwa hawana nafasi tena.


Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Wilaya ya Tanga Ndugu Mbuguni "mzee wa upako" akiwa jukwaani akiwalaki wananchi,viongozi mbalimbali waliofika katika mkutano wa chama CCM uliofanyika katika mtaa wa msikitini kata ya ngamiani kati,hii ni kabla ya mgeni raslimi hajapanda jukwaani.













viongozi mbalimbali wa chama cha Mapinduzi CCM kutoka kulia mwa picha ni Bakari mambea diwani katika kata ya MARUNGU na Diwani SEle BOSI wakisikiliza maneno mazuri kutoka kwa mbunge wa jimbo la Tanga Omary Nundu
  
Katibu wa Mbunge wa jimbo la Tanga Bwana Mwaveso aikiwa na diwani wa kata ya ngamiani kati Sele Bosi

Akina mama wa kikoba kautoka katika kikundi cha UWT 1 wakiwa katika moja ya vikao vyao vya vikoba, kikao kilifanyika barabara ya 17 jijini Tanga

 Kutoka kulia mwa picha ni mama Omary Nundu"mke wa mbunge wa jimbo la Tanga"
Mama Omary Nundu akimsikiliza mbunge wa jimbo la Tanga Injia Omary Nundu.aliyekaribishwa na akina mama wa vikoba wa UWT1

Injinia Omary Nundu,akichukuwa maelezo kutoka kwa akina mama wa vikoba wa UWT1







Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment