photo tyyyyyyyyyyyyyyyy_zpsd20272cf.jpg

Suluhu mgogoro Hong Kong kizungumkuti

Waandamanaji wanaopigania demokrasia katika eneo la utawala la Hong Kong nchini China "wamesikitishwa" japo hawajashangazwa na hatua ya serikali ya utawala wa eneo la Hong Kong kufuta mazungumzo na wanafunzi hao ili kutatua mgogoro uliotikisa eneo hilo kwa karibu wiki mbili. Amedai mwanafunzi mmoja kutoka katika jiji hilo
.

Mwanafunzi mwandamanaji Harold Li ameishtumu serikali kwa kushindwa kuupatia ufumbuzi mgogoro huo, ambao umeshuhudia maelefu ya watu wakiingia mitaani kuandamana.

Hong Kong imewalaumu wawakilishi wa wanafunzi kwa "kupuuza" msingi wa kuwepo kwa mazungumzo yenye tija kati ya pande mbili hizo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment