photo tyyyyyyyyyyyyyyyy_zpsd20272cf.jpg

KINANA: KUTOKUWA NA MFUMO MZURI WA SHERIA, UCHUMI NA UTEKELEZAJI WA MAJUKUMU KWA BAADHI YA WATENDAJI, RUSHWA NA KULINDANA NDIYO CHANZO CHA UMASIKINI


Katibu Mkuu Taifa ABRAHMANI KINANA AKIHUTUBIA wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Tangamano jijini Tanga.
Katibu wa itikadi na uenezi nape nnauye akihutubia wananchi wa Tanga katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Tangamano.



Mbunge wa jimbo la Tanga Omary Nundu akihutubia wananchi katika mkutano wa KINANA uliofanyika Tangamano Tanga.

Mkuu wa wilaya ya Tanga HALIMA DENDEGO (Watatu kutoka kushoto) na viongozi wengine katika mkutano huo.

Mmiliki wa mabasi ya Raha Leo yanayofanya safari zake Tanga Dar es salam akiwa na wazee wenzake katika mkutano wa katibu mkuu taifa CCM ABRAHMANI KINANA uliofanyika Tangamano Tanga.






Baadhi ya wananchi wakitoa ujumbe wao kwa katibu mkuu Taifa CCM katika mkutano huo.

Maelfu ya wananchi waliojitokeza katika mkutano wa hadhara wakimsikiliza katibu Mkuu Taifa CCM katika viwanja vya Tangamano.





Vikundi mbalimbali vya burudani vilitumbuiza katika mkutano huo.



Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment