photo tyyyyyyyyyyyyyyyy_zpsd20272cf.jpg

URENO YAKUBALI KICHAPO CHA BAO 2-1 DHADI YA UFARANSA MBELE YA RONALDO KATIKA KIPUTE CHA KIRAFIKI...


Ureno imekubali kipigo cha 2-1 katika mchezo wa kirafiki wa kimatafa, ambao Mwanasoka Bora wa Dunia Cristiano Ronaldo hakuumaliza baada ya kuumia.

Mnamo dakika 76 ya mchezo Ronaldo  alitolewa nje baada ya kuumia goti , wakati huo Ufaransa inaongoza kwa mabao 2-0. 
Mabao ya Ufaransa yamefungwa na mchezaji mwenzake wa 
Real Madrid, Karim Benzema dakika ya tatu na mchezaji mwenzake wa zamani wa Manchester United, Paul Pogba dakika ya 65. 

bao lakufutia machozi limefungwa na Ricardo Quaresma aliyetokea benchi mnamo dakika i dakika ya 78 kwa njia ya penalti.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment